Liverpool yatinga nusu
fainali baada ya ya kushinda 4-3 dhidi ya Borrussia Dortmund

Magoli ya Liverpool
yamefungwa na wachezaji Divock Origi, Philippe Coutinho, Mamadou Sakho na Dejan
Lovren.
Na magoli ya Dortmund
yamefungwa na Henrikh Mkhitaryan, Pierre-Emerick Aubameyang na Marco Reus .
Sevilla imeiondoa
Athletic Bilbao kwa changamoto ya penalti 5-4 kufuatia sare ya jumla ya 3-3
baada ya kila timu kushinda 2-1 mechi ya nyumbani.
Villarreal imeifunga
Sparta Praga bao 4- 2 na Shakhtar Donetsk imeirarua Sporting Braga kwa mabao
4-0.
Kwa matokeo hayo
Liverpool inaungana na Sevilla, Shakhtar Donetsk na Villarreal katika hatua ya
nusu fainali.
No comments:
Post a Comment