Friday, 6 May 2016

KAMPENI "FICHUA VIPAJI"



Bado tunaendelea na kampeni yetu hii, lengo kuu ni kuwafichua na kuwaonesha wanamichezo wadogowadogo ambao wanaaminika kua wanavipaji vya hali ya juu katika michezo, iwe mpira wa miguu, mchezo wa ngumi, mpira wa kikapu nk.

Kampeni yetu hii ipo katika mokoa yote ya Unguja na Pemba , tafadhali shiriki nasi katika kampeni hii kuibua vipaji vya vijana wetu, inaonekana vijana vipaji wanavyo lakini vinashindikana kuonekana hadharani.

Kwa yoyote mdau wa michezo ambae anatimu ya watoto ya mchezo wowote au hata kijana pekee  unaomba kuwasiliana nasi kupitia  +255779518500 / salmahassan040@gmail.com tujadiliane ni namna gani ya kuwafikia vijana wetu au wewe mwenyewe na tuandae mbinu mbadala za kuwatangaza.

Picha uzionazo ni wanafunzi wa Skuli ya Ng'ambwa visiwani Pemba  hapo wanafanya mazoezi ya mpira wa NETBALL wakijitayarisha na sherehe za michezo ya elimu bila malipo Zanzibar nje ya uwanja wa  wa Gombani.

No comments: