Friday 26 February 2016

Kombe la Ligi UK: Kolo Toure amuonya Yaya.


Kolo Toure atakabiliana na nduguye Yaya Toure wakati ambapo Liverpool itakutana na Manchester City katika fainali ya kombe la Ligi ya Uingereza siku ya jumapili katika uwanja wa Wembley.Lakini beki huyo wa Liverpool anasema kuwa atatumia kila njia kuhakikisha kuwa nduguye hapati bao.
''Ananijua mie kwamba naweza kutumia kila njia kumzuia asifunge bao'',alisema Kolo Toure ambaye ni ndugu mkubwa wa Yaya Toure.

No comments: