Bondia Anthony Joshua amesema sasa macho na akili zake
anazielekeza kwa bondia Tyson Fury hii ni baada ya kushinda mkanda wa IBF wa
dunia uzani wa Heavyweight siku ya Jumamosi na katika raundi ya pili ya mtoano
ya dhidi ya mpinzani Charles Martin.
Mwingereza huyo mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni bingwa wa
Olimpiki amesema sasa anahitaji kupambana na bondia Fury na kuendelea kutetea
mataji.
No comments:
Post a Comment