Real Madrid yainyeshea
Getafe mvua ya magoli mbele ya mashabiki wake.
Timu ya Real Madrid
ilisafiri ugenini kuenda kupambana na Getafe kwenye mechi ya ligi kuu ya soka
ya La Liga nchini Uhispania.
Real Madrid iliendeleza
msururu wa ushindi kwa kuinyeshea mvua ya magoli Getafe na kuondoka na pointi
3.
Ushindi huo mnene wa
5-1 wa Real Madrid uliletwa kupitia magoli yaliyofungwa na Benzema, Bale, Isco,
Rodriguez na Ronaldo.
No comments:
Post a Comment