Rais Recep Tayyip Erdoğan aongoza hafla ya ufunguzi wa uwanja
wa Vodafone wa timu ya Beşiktaş.
Katika ufunguzi huo rais Erdoğan alifahamisha kuwa haki ya
Beşiktaş kuwa na uwanja wake wa kipekee wa kufanya mazoeozi na shughuli zingine
imekawia sana.
Aidha Erdoğan alifanya mkwaju wa penalti wa kwanza kisha
baadaye wakarushiana mpira pamoja na waziri mkuu Ahmet Davutoğlu,rais wa zamani
Abdullah Gul na kiongozi wa Beşiktaş Fikret Orman.
No comments:
Post a Comment