Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka ya La Liga nchini
UhispaniaBarcelona walisafiri ugenini kupambana na Real Sociedad kwenye mechi
yao ya wiki ya 32.
Wageni Barcelona walikuwa na wakati mgumu dhidi ya wenyeji
Real Sociedad na kushindwa kutikisa wavu ndani ya dakika 90.
Real Sociedad walileta faraja kwa mashabiki wake baada ya
kupata goli la pekee lililofungwa na Mikel Oiarzabal katika dakika ya 5.
Goli hilo la pekee lililetea Real Sociedad pointi 3 huku
Barcelona ikirudi nyumbani mikono mitupu.
No comments:
Post a Comment