Kwa matokeo hayo ya
mchezo huo uliochezwa Uwanjani Wembley, Jijini London, sasa Palace watakutana
na Manchester United ambao waliwatoa Everton 2-1 katika Nusu Fainali nyingine.
Hadi Mapumziko Palace
walikuwa mbele kwa Bao 1-0 lililofungwa na Yannick Bolasie.
Kipindi cha Pili,
Watford walimudu kusawazisha kupitia Deeney lakini Dakika 6 tu baadae Connor
Wickham akafunga Bao la Pili na la ushindi kwa Palace.
Fainali Michuano hii
itachezwa Mei 21 hapo hapo katika dimba laaWembley.
No comments:
Post a Comment